Nigeria miongoni mwa inchi 5 ulimwenguni zitakazo kuwa na uchumi bora duniani ifikapo 20

Mataifa mengine ni ikiwamo, China, India, Brazil, Mexico na Nigeria

Vigezo vyote vya kiuchumi vinaashiria kwamba inchi yenye uchumi mkubwa  zaidi barani Afrika ni Nigeria mbele ya Afrika ya kusini iliyokuwa ya kwanza. Leo hii watabiri wa uchumi wanaashiria kuwa inchi hiyo  inakaribia kukua kwa kasi kikubwa ifikapo  mwaka wa 2050, inakadiriwa kuwa uchumi wake utakuwa kwa viango vya  wastani wa 4.2%, ikipanda nafasi nane kutoka 22 hadi 14 chini ya viwango. 

Wakati huo huo inaripotiwa kuwa wakati ambao serikali itakuwa imepambana na ufisadi vilivyo, wakaazi wa inchi hiyo wameonyesha  tabia ya ujasiriamali ambayo inaendelea kusukuma nchi mbele zaidi.

Itakumbukwa kwamba Nigerian ni moja wapo inchi chache barani afrika Iliyo na uchumi wake mikononi mwao. Yaani uchumi wao haubanui na mataifa ya inje kama wale walio watawala wakati wa ukoloni. 

Hio ndio hali ambayo inaonekana katika mataifa mengi yaliyotawaliwa na wafaransa kwa bahati mbaya.

 Kulingana na data ya Global Entrepreneurship Monitor, zaidi ya 30% ya wakazi wa Naigeria ni wajasiriamali wapya au wamiliki- kati ya kiwango cha juu zaidi duniani.

Share This Article:

Related posts

Leave a Comment