Nigeria miongoni mwa inchi 5 ulimwenguni zitakazo kuwa na uchumi bora duniani ifikapo 20

Mataifa mengine ni ikiwamo, China, India, Brazil, Mexico na Nigeria Vigezo vyote vya kiuchumi vinaashiria kwamba inchi yenye uchumi mkubwa  zaidi barani Afrika ni Nigeria mbele ya Afrika ya kusini iliyokuwa ya kwanza. Leo hii watabiri wa uchumi wanaashiria kuwa inchi hiyo  inakaribia kukua kwa kasi kikubwa ifikapo  mwaka wa 2050, inakadiriwa kuwa uchumi wake utakuwa kwa viango vya  wastani wa 4.2%, ikipanda nafasi nane kutoka 22 hadi 14 chini ya viwango.  Wakati huo huo inaripotiwa kuwa wakati ambao serikali itakuwa imepambana na ufisadi vilivyo, wakaazi wa inchi hiyo wameonyesha …

Share This Article: